ALIYEKUWA Waziri wa Miundombinu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Bw. Andrew Chenge, akipokelewa kama 'Shujaa' na baadhi ya 'wananchi' wa Bariadi Mashariki wakati akiwasili jimboni humo baada ya kujiuzulu. Je, unadhani alistahili kupokelewa namna hiyo.
Friday, February 6, 2009
Chenge ni Shujaa !?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment