Friday, February 6, 2009

Mafunzo ya Tovuti kwa Wahariri

WAHARIRI wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wamepatiwa mafunzo kuhusu matumizi ya tovuti mbalimbali kwa ajili ya shughuli zao za kuhariri habari.

Mafunzo haya yameandaliwa na MISA Tanzania na yameendeshwa na Mkufunzi kutoka Shirika la Utangazaji la Finland, Bwana Peik Johansson, yamefanyika kwenye Chuo cha Usimamizi wa Fedha, IFM, jijini Dar es Salaam.

MHARIRI wa Radio Times 100.5 FM,
Bw. Mkombe Zanda, (kushoto) akiwa kwenye mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment